MAJIBU YA MASWALI YA HELABET

  1. Fungua App yako
  2. Bonyeza hicho kiduara cha katikati hapo chini kimeandikwa Bet Slip
  3. Then Click "Load Bet Slip"
  4. Then paste Code hafu click Upload

  1. Gusa kitufe cha duara kimeandikwa "Betslip" hapo chini katikati
  2. Hafu utaona neno limeandikwa "Go to betslip", bonyeza hapo
  3. Kisha bonyeza vidoti vitatu vipo pembeni kulia mwa neno " My betslip" 
  4. Hafu utaona neno "Load Betslip" bonyeza hapo, weka code ya mkeka wako hafu malizia kwa kubonyeza "load"

 

  1. Fungua App hafu Click "MENU"
  2. Kwa juu kulia utaona neno "Deposit"
  3. Click hapo halafu chagua mtandao uliojisajilia(Kama ni Voda chagua Vodacom, Kama ni Tigo chagua Tigo, kama ni Airtel chagua Airtel etc)
  4. Ingiza kiasi unachotaka kuweka halafu kuna ujumbe utatokea ukikutaka kuingiza namba ya siri, malizia kwa kuingiza namba ya siri ili kukamilisha kuweka pesa

  1. Fungua App
  2. Click "MENU"
  3. Juu kulia utaona icon ya settings
  4. Bonyeza hapo
  5. Then chagua "withdraw"
  6. Kisha chagua mtandao uliojisajilia kuweza kutoa pesa
  7. Ingiza kiasi unachotoa halafu malizia kutoa pesa

  1. Kwenye App click "Menu" then "Customer Support" hafu click "Chat" hafu elezea hyo changamoto then wakikupa robot click Call Operator pale juu ili uhudumiwe na binadamu
  2. Unaweza kuandika hata kwa kiswahili mana wana wahudumu wa kiswahili pia

  1. Gusa link kwenye post ya mkeka 
  2. Hakikisha upo sehemu ya "By Phone"
  3. Jaza namba yako ya simu bila kuanza na sifuri mfano 716555444
  4. Bonyeza "Send SMS" ili utumiwe Confirmation Code
  5. Angalia kwenye message za kawaida utaona Confirmation Code zimetumwa
  6. Ingiza Confirmation Code halafu gusa neno "Confirm"
  7. Ingiza Promocode CHAMPION20 kupata Bonus ukishadeposit pesa
  8. Weka Password yako: namba + herufi kubwa & ndogo (mf: Tanzania255)
  9. Kubali Terms and Conditions kisha bonyeza REGISTER
  10. Ukishaclick REGISTER zitatokea symbols zikitaka uzibonyeze kwa mpangilio(mfuatano kama zinavoonekana kwa juu yake) ila unabonyeza humo ndani kwenye box na baada ya kubonyeza zote click SEND
  11. Umefanikiwa kujisajili! Weka pesa na subiri mikeka kwenye group